2 Chronicles 34:14

Kitabu Cha Sheria Chapatikana

(2 Wafalme 22:3-20)

14 aWakati walikuwa wakizitoa nje fedha zilizokuwa zimetolewa kwenye Hekalu la Bwana, kuhani Hilkia akakipata kile Kitabu cha Sheria ya Bwana kilichokua kimetolewa kwa mkono wa Mose.
Copyright information for SwhNEN